Chembe chembe za kemikali mpya bado zinazidi kuvumbuliwa na ya mwisho iligunduliwa mwaka 2010, wakati wanasayansi walipotangaza kuwa wamegundua “ununseptium”. Kama huwezi kulitamka jina hilo usijari kwani hata sisi hatujui jinsi ya kulitamka kwa ufasaha!